Leteipa the King

ndoto ya mchana
\#INTRO
Iyeeeh iyeeh iyeeeh,
Ni vampK
lalalalalala lalalalalaaaa

\#VERSE
Niliskia tufununu,
Kwamba ulipata mwingine,
Anayekupenda zaidi ya mimi,
mtafunga ndoa pengine,
Yetu ilikuwa shadow,
mapenzi yenu yamekolea,
Lazima huwa Anakupa,
vitu sikuwa nakupea,
Ndoto zako zote,
ulizoniambia,
Naona kama kweli sasa zinatimia,
Na Sina chochote,
cha kukuambia,
Ila nakonda Kweli nikikufikiria,

\#HOOK
Sura yako umbo lako jamani eeh,
Busu na mahaba chumbani maami ,
Mawaidha yako nikiwa matatani eeh,
Nikikumbuka najiona hayawani maami

\#CHORUS
Nawatakia mema,
(Nawatakia mema)
nawatakia mema,
(Nawatakia mema)
Nawatakia mema,
(Nawatakia mema)
Basi kwaheri kwaheri
kwaheri Mama
(Ndoto yangu ya Mchana)

\#VERSE
Ingawa inaniuma,
niko na furaha moyoni,
Kuona kwamba umepata,
vyote ulivyokuwa unatamani,
Naomba nipate mwaliko,
wa harusi nije Nile wali,
Nipige picha na wadau,

nikupe zawadi kama zamani
Alafu ntapeform,
kama beshte yako,
kale kawimbo nilikuimbia shambani
Na nitakuinform,
tunza mume wako,
Japo kuna vitu zenye ninatamani,

\#HOOK
Sura yako umbo lako jamani eeh,
Busu na mahaba chumbani maami ,
Mawaidha yako nikiwa matatani eeh,
Nikikumbuka najiona hayawani maami

\#CHORUS
Ingawa ningependa,
ungekuwa wangu pekee,
(Nawatakia mema)
Ingawa moyoni
umeniachia kidonda,
(Nawatakia mema)
Namwomba Mungu,
anipatie
mwingine Kama wewe,
(Nawatakia mema)
Hivo kwaheri kwaheri
kwaheri kwaheri mama
(Ndoto yangu ya Mchana)
Lakini ninaomba,
unifanyie favour Moja
(Nawatakia mema)
Ukijifungua
kama ni wa kiume,
mpe jina laangu
(Nawatakia mema)
Na kama ni wa kike
mpe jina la mama yangu
(Nawatakia mema)
Basi kwaheriiiiiiii
(Ndoto yangu ya Mchana)

\#AUTRO
lalalala lalalala
iyeeeeeeeeh

ndoto ya mchana》由Leteipa the King演唱,该首音乐收录在《ndoto ya mchana》专辑中。

标签: 歌词大全

添加新评论

最新回复

  • 嗨曲: 音乐论坛
  • 泮哥: 谢谢你,现在正在更改网站前端布局,有些细微的地方还没改好
  • typecho论坛: 提几个建议,手机端按钮重叠了,还有这个关于页面布局右边的边栏感觉怪怪的
  • 泮哥: 喜欢这种复古的感觉,就很怀旧不是吗
  • typecho论坛: 好复古的table布局啊
  • typecho论坛: 论坛过来的
  • 泮哥: 前来支持一下
  • 泮哥: 回复一下试试
  • Typecho: 看看缓存评论问题
  • 泮哥: 最喜欢的民谣歌手之一